ELIMU KWA WATOTO
Kumuelimisha mtoto kuhusu maswala ya ukatili ni kumfanya ajitambue na awe na ufahamu wa kujua viashiria vya ukatili na jinsi ya kuepuka..pia elimu inampa mtoto ujasiri wa kutoa taarifa endapo atakutana na viashiria vya ukatili,hiyo itasaidia kupunguza na kutokomeza matukio ya ukatili kwa watoto.

All Categories
Recent Posts
Peter John0 Comments
KATAA RUSHWA YA NGONO
Peter John0 Comments
ELIMU KWA WATOTO
Peter John0 Comments
DOOR TO DOOR
+0123 (456) 7899
contact@example.com