ELIMU KWA WATOTO

Kumuelimisha mtoto kuhusu maswala ya ukatili ni kumfanya ajitambue na awe na ufahamu wa kujua viashiria vya ukatili na jinsi ya kuepuka..pia elimu inampa mtoto ujasiri wa kutoa taarifa endapo atakutana na viashiria vya ukatili,hiyo itasaidia kupunguza na kutokomeza matukio ya ukatili kwa watoto.

Add a Comment

Your email address will not be published.

Recent Posts

KATAA RUSHWA YA NGONO

ELIMU KWA WATOTO

DOOR TO DOOR

Give them a helping hand

SPECIAL ADVISORS
Quis autem vel eum iure repreh ende

+0123 (456) 7899

contact@example.com