WATOTO WETU

Watoto wetu wamekua wahanga wakubwa wa matendo ya ukatili katika jamii yetu.matukio ya watoto kubakwa na kulawitiwa yamekithiri sana na baadhi ya watu hufumbia macho matukio hayo na kushindwa kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama..

Sisi kama wajiki tumechagua njia ya kuifikia jamii na kutoa elimu juu ya maswala ya ukatili,imani yetu ni kwamba kwa elimu tunayotoa kwenye jamii italeta chachu ya mabadiliko ya kifikra na ufahamu juu ya haki za binadamu na ulinzi wa watoto,Pia elimu itasaidia jamii kapata ujasiri na kufichua watu wanaofanya ukatili kwa watoto ili wapelekwe kwenye vyombo vya sheria na kuchukuliwa hatua stahiki.

Tusimame imara na kuhakikisha safari salama kwa watoto wetu,pamoja tunaweza.

One thought on “WATOTO WETU”

  1. 🔏 Email; SENDING 1,876920 BTC. Confirm => https://yandex.com/poll/HsemiBCtfopPhJGk2rGvc2?hs=9e8cf26bbc5b9a4640fa7e735474564c& 🔏 June 5, 2025

    latdze

Add a Comment

Your email address will not be published.

Recent Posts

ELIMU NA MAZOEZI

WATOTO WETU

KATAA RUSHWA YA NGONO

Give them a helping hand

SPECIAL ADVISORS
Quis autem vel eum iure repreh ende

+0123 (456) 7899

contact@example.com