ELIMU NA MAZOEZI
Vita dhidi ya ukatili ni vita kubwa sana ambayo inahitaji umoja wetu ili kushinda,pia ili tuweze kushinda vita hii ni lazima kila mtu kwenye jamii ajue wajubu wake,ili kuzuia na kutokomeza kabisa maswala ya ukatili inatupasa wote kuwa mstari wa mbele kukemea na kuripoti matukio ya ukatili.
Sisi wajiki tumetumia jukwaa la jogging kukutana na watu wa rika zote na kuwapa elimu juu ya maswala ya ukatili ikiwemo ukatili wa kingono ubakaji na ulawiti,ukatili wa kijinsia na vipigo.Elimu ni moja ya silaha muhimu katika mapambano dhidi ya ukatili.Tushirikiane kupinga ukatili,tushirikiane kutokomeza rushwa ya ngono.

All Categories
Recent Posts
Peter John0 Comments
ELIMU NA MAZOEZI
Peter John1 Comment
WATOTO WETU
Peter John0 Comments
KATAA RUSHWA YA NGONO
+0123 (456) 7899
contact@example.com